Meya wa manispaa ya Ilala Jerry Silaa akibadilishana nyaraka za mkataba wa awali na Mkurugenzi mtendaji wa Tanzania Investment Bank baada ya kutia saini makubaliano ya awali ya manispaa ya Ilala kukopa fedha kwa ajili ya ujenzi wa soko la kisasa la kisutu. Manispaa ya Ilala sio tu ndiyo ya kwanza kwa halmashauri zote nchini kuingia makubaliano na TIB,Bali pia mradi huu utakuwa unamilikiwa kwa 100% na halmashauri tofauti na miradi ya ubia. Hii imekuja kuunga mkono jitihada za Rais wetu mpendwa Jakaya M Kikwete aliyeiongezea mtaji TIB kwa maendeleo ya nchi yetu. Ujenzi unategemewa kuanza mapema mwakani na mpango huu utaendelezwa kwenye masoko mengine kutimiza mpango wa meya Silaa wa kuwa na masoko makubwa na ya kisasa kama njia mojawapo ya kuondoa machinga mitaani,kukuza ajira na huduma.
Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Follow us on Google+!
-
We're putting our Blogs of Note blog in archive mode now, so for the latest
updates from the Blogger team please follow us on Google+ (which of course
incl...
AJIRA BENKI YA WANANCHI WA DAR ES SALAAM
-
DCB Commercial Bank Plc is a private Commercial Bank dedicated at uplifting
the standard of living of low. middle and corporate — income people in
Tanzan...
0 comments:
Post a Comment