Wednesday, September 14, 2011

MAKAMU WA RAIS MGENI RASMI KUMBUKUMBU YA MIAKA 35 YA RELI YA TAZARA.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara kuelekea maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Maonyesho hayo yamefanyika leo katika Viwanja vya Tazara jijini Dar es Salaam.

baada ya hutuba hiyo makamu wa rais alipata fulsa ya kusikiliza maelekezo kutoka kwa meneja wa Tazara, ndugu Mkandarasi Abdallah Shekimweri wakati akitembelea mabanda ya maonyesho kwenye maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara pia alipata fulsa ya kutembelea moja ya mfumo wa Behewa Daraja la kwanza Treni ya Tazara
Mwisho kabisa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikabidhi zawadi kwa wageni wakiwemo aliyekuwa Waziri wa Wizara ya Uchukuzi Job Lusimbe pamoja na (mzee John Nchimbi na mkewe, Sylviaa Nchimbi) waliokuwa abiria wa kwanza kusafiri na reli ya Tazara mwaka 1976,ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wao katika ujenzi wa reli ya Tazara.
Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Labels

 

Pages

Popular Posts

BBC Xclusives

| BongoXclusive © 2009. All Rights Reserved | Sponsored by: Website Templates | Premium Wordpress Themes | consumer products. Thanks to blogger template
Template Style by My Blogger Tricks .com | Back To Top |