baada ya hutuba hiyo makamu wa rais alipata fulsa ya kusikiliza maelekezo kutoka kwa meneja wa Tazara, ndugu Mkandarasi Abdallah Shekimweri wakati akitembelea mabanda ya maonyesho kwenye maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 35 ya reli ya Tazara pia alipata fulsa ya kutembelea moja ya mfumo wa Behewa Daraja la kwanza Treni ya Tazara
Mwisho kabisa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikabidhi zawadi kwa wageni wakiwemo aliyekuwa Waziri wa Wizara ya Uchukuzi Job Lusimbe pamoja na (mzee John Nchimbi na mkewe, Sylviaa Nchimbi) waliokuwa abiria wa kwanza kusafiri na reli ya Tazara mwaka 1976,ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wao katika ujenzi wa reli ya Tazara.






0 comments:
Post a Comment