Tuesday, October 18, 2011

DJ Khaled Gives Russell Simmons An Update On Rick Ross



Russell Simmons na Global Grind warifika kwa DJ Khaled ili waweze kujua Rick Ross’ anaendeleaje baada ya kuugua siku 1 iliyo pita. TMZ leo mapema warikaririwa wakisema DJ Khaled alikuwa akimwendesha na gari Rick Ross wakati wanatoka katika maonyesho yake huko Memphis na kwenda nyumbani kwake Atlanta ili kuepuka tena ajari iliyo tokea na kusababisha Rick Rock kukimbizwa hospitali sikuchache zilizopita.


DJ Khaled alisema kuwa Rozay amepumzika nyumbani na anaendelea vizuri kila siku zinavyozidi kusogea.Na akasistiza kuwa Rick Ross mda mwingi ana kunywa maji na siyo milkshake na ndio maana saizi afya yake inaendelea vizuri bira matatizo yoyote.
Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Labels

 

Pages

Popular Posts

BBC Xclusives

| BongoXclusive © 2009. All Rights Reserved | Sponsored by: Website Templates | Premium Wordpress Themes | consumer products. Thanks to blogger template
Template Style by My Blogger Tricks .com | Back To Top |