Usiku wa kuamkia jumamosi mkali mahili wa hip hop rapa Drake alionekana akitumbuiza wimbo wake mpya uitwao ‘Made Me Proud’ katika onyesho la NSL akiwa na shost wake kipenzi wa mtima wake mwanadada nicki minaj.onyesho hilo ni kama unavyo liona hapo juu katika video.wimbo huo wa 'Made Me Proud'.sasa unaweza kuu pata kwa kubonyeza hapa
iTune






0 comments:
Post a Comment