Friday, November 11, 2011

JAGUAR AWASILI TANZANIA TAYARI KWA SHOW YA BODA KWA BODA BEACH CONCERT LEO


Mwanamuziki mahiri nchini Kenya ajulikanae kwa jina la JAGUAR (pili kulia) ,akiwasili nchini Tanzania tayari kwa kuangusha bonge la shoo kwenye tamasha la BODA KWA BODA BEACH CONCERT.

Kuzungumzia na uthibitisho wa ujio wa Mwanamuziki huyo Dar,Meneja wa Masoko wa kampuni ya G5 CLICK COMPANY,Desy Ernest amesema kuwa,Mwanamuziki Jaguar kutoka nchini Kenya anatarajiwa kutumbuiza kwenye tamasha la BODA KWA BODA BEACH CONCERT litalofanyika kaika fukwe ya Mbalamwezi Beach,Mikocheni jijini Dar Es Salaam LEO majira ya saa moja jioni huku akisindikizwa jukwani na wasanii wakibongo wakiwemo Sumalee,GodZilla,Country Boy & Stamina,Young D,Beka na wengineo wengi tu

Desy Ernest amesema kuwa mpaka sasa mambo yanakwenda sawa bin sawia,na kwamba shamra shamra za BODA KWA BODA BEACH CONCERT zitakuwa tofauti na zenye msisimko mkubwa, ambalo ni kubwa katika anga ya burudani ndani ya Tanzania.

Jaguar awasihi mashabiki wake kujitokeza kwa wingi ilikukamilisha mpango mzima wa BODA KWA BODA BEACH CONCERT.
Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Labels

 

Pages

Popular Posts

BBC Xclusives

| BongoXclusive © 2009. All Rights Reserved | Sponsored by: Website Templates | Premium Wordpress Themes | consumer products. Thanks to blogger template
Template Style by My Blogger Tricks .com | Back To Top |