Monday, November 14, 2011

TAIFA STARS WAREJEA NCHINI NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE


Wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania ‘taifa stars’ wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo wakitokea N’Djamena ambapo waliifunga timu ya taifa ya Chad kwa mabao 2-1. Timu hizo zinarudiana kesho katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kocha Mkuu wa Taifa Stars,Jan Paulsen akiongea na waandishi wa habari katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.Taifa Stars wamewasili leo wakitokea N’Djamena nchini Chad kushiriki mchezo wa kimataifa ambapo waliifunga timu ya taifa ya Chad kwa mabao 2-1.
Wachezaji wa Timu ya Taifa wakiwa ndani ya Basi lao.
Washabiki wa wakiwa wameizunguka Basi iliyokuwa imewabeba wachezaji wa Timu ya Taifa.


Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Labels

 

Pages

Popular Posts

BBC Xclusives

| BongoXclusive © 2009. All Rights Reserved | Sponsored by: Website Templates | Premium Wordpress Themes | consumer products. Thanks to blogger template
Template Style by My Blogger Tricks .com | Back To Top |