Monday, November 14, 2011

MKUU WA MKOA WA RUVUMA ATEMBELEA MAONYESHO YA MIAKA 50 YA UHURU KATIKA VIWANJA VYA NANE NANE SONGEA.


Mkuu wa mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu (kulia) akisisitiza jambo wakati alipotembelea mabanda ya maonyesho kwenye ufunguzi wa sherehe za miaka 50 ya uhuru ambazo kimkoa zilifanyika katika viwanja vya nane nane mjini songea.Kushoto ni Dkt. Ngowi wa hospitali ya mkoa songea.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mh. Said Mwambungu akiangalia moja ya viatu vilivyotengenezwa kwa kutumia ngozi ya mbuzi na mafundi kutoka muungano wa viwanda vidogo nchini (MUVI) zamani sido mkoani humo wakati wa maonyesho ya ufunguzi wa sherehe za miaka 50 ya uhuru yaliyofanyika katika viwanja vya nane nane mjini songea.kulia ni Kaimu Meneja wa ISDO mkoa wa Ruvuma,Richard Mbambe.Picha na Muhidin Amri-Ruvuma.

Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Labels

 

Pages

Popular Posts

BBC Xclusives

| BongoXclusive © 2009. All Rights Reserved | Sponsored by: Website Templates | Premium Wordpress Themes | consumer products. Thanks to blogger template
Template Style by My Blogger Tricks .com | Back To Top |