Mkuu wa mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu (kulia) akisisitiza jambo wakati alipotembelea mabanda ya maonyesho kwenye ufunguzi wa sherehe za miaka 50 ya uhuru ambazo kimkoa zilifanyika katika viwanja vya nane nane mjini songea.Kushoto ni Dkt. Ngowi wa hospitali ya mkoa songea.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mh. Said Mwambungu akiangalia moja ya viatu vilivyotengenezwa kwa kutumia ngozi ya mbuzi na mafundi kutoka muungano wa viwanda vidogo nchini (MUVI) zamani sido mkoani humo wakati wa maonyesho ya ufunguzi wa sherehe za miaka 50 ya uhuru yaliyofanyika katika viwanja vya nane nane mjini songea.kulia ni Kaimu Meneja wa ISDO mkoa wa Ruvuma,Richard Mbambe.Picha na Muhidin Amri-Ruvuma.






0 comments:
Post a Comment