Monday, November 14, 2011

UJENZI WA DARAJA KATIKA KIJIJI CHA MATAI WILAYANI SUMBAWANGA.


Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya kichina iitwayo China Railway 15Bureuau Group Corporation (CR 15G) Newcentry Company Limited wakijenga daraja katika kijiji cha Matai wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa hivi karibuni katika barabara ya Sumbawanga – Matai – Kasanga inayotengenezwa kwa kiwango cha lami na kampuni hiyo ya ujenzi hata hivyo kazi katika barabara ni za kusua kusua kufuatia Serikali kushindwa kuwa lipa wakandarasi hao malipo yao kwa wakati.
Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Labels

 

Pages

Popular Posts

BBC Xclusives

| BongoXclusive © 2009. All Rights Reserved | Sponsored by: Website Templates | Premium Wordpress Themes | consumer products. Thanks to blogger template
Template Style by My Blogger Tricks .com | Back To Top |