Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya kichina iitwayo China Railway 15Bureuau Group Corporation (CR 15G) Newcentry Company Limited wakijenga daraja katika kijiji cha Matai wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa hivi karibuni katika barabara ya Sumbawanga – Matai – Kasanga inayotengenezwa kwa kiwango cha lami na kampuni hiyo ya ujenzi hata hivyo kazi katika barabara ni za kusua kusua kufuatia Serikali kushindwa kuwa lipa wakandarasi hao malipo yao kwa wakati.
Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Follow us on Google+!
-
We're putting our Blogs of Note blog in archive mode now, so for the latest
updates from the Blogger team please follow us on Google+ (which of course
incl...
AJIRA BENKI YA WANANCHI WA DAR ES SALAAM
-
DCB Commercial Bank Plc is a private Commercial Bank dedicated at uplifting
the standard of living of low. middle and corporate — income people in
Tanzan...
0 comments:
Post a Comment