Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (kushoto) akifuatana na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Mgeni Baruani, wakiliangalia lori lililoanguka juzi usiku katika barabara ya Morogoro- Dodoma na kwa mbali ni Mkuu wa Mkoa huyo akizungumza na mmoja wa wafanyakazi wa Lori hilo lenye namba za usajili T 838 BTY na Tella namba T 215 BTE.






0 comments:
Post a Comment