Monday, November 14, 2011

SALAMA JABIR AJA UPYA,AIBUKA NA MKASI TV SHOW


MTANGAZAJI MAARUFU SALAMA JABIR ANARUDI KIVINGINE NA KIPINDI KIPYA KABISA KINACHOITWA MKASI KITAKACHOKUWA KIKIRUSHWA HEWANI KILA SIKU YA JUMATATU KUANZIA SAA 3:30 USIKU. KIPINDI HICHI KITAANZA KUONEKANA HEWANI KUPITIA EAST AFRICA TV KUANZIA TAREHE 14 MWEZI NOVEMBA 2011.


KIPINDI HICHO KITAKUWA KIKIFANYIKIA SALOON NA KUHOJI WATU MBALI MBALI WENYE VIPAJI LUKUKI KUHUSIANA NA MAISHA YAO BINAFSI NA HII NI KWA MARA YA KWANZA KUFANYIKA KATIKA HISTORIA YA VIPINDI VYA AFRIKA YA MASHARIKI KUTOKANA NA MTIRIRIKO MZIMA WA KIPINDI ULIVYO NA MANDHARI YAKE.


USIKOSE KUTAZAMA LUNINGA YAKO ILI KUPATA KILICHO BORA KUTOKA KWA SALAMA JABIR.
NI ‘MKASI’ UTAKAOTIKISA TANZANIA NA AFRIKA YA MASHARIKI KWA UJUMLA.
KUMBUKA NI KILA JUMAATATU SAA TATU NA NUSU USIKU
Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Labels

 

Pages

Popular Posts

BBC Xclusives

| BongoXclusive © 2009. All Rights Reserved | Sponsored by: Website Templates | Premium Wordpress Themes | consumer products. Thanks to blogger template
Template Style by My Blogger Tricks .com | Back To Top |