Saturday, November 12, 2011

MBUNGE MO AWEKEZA ZAIDI YA NUSU BILIONI KATIKA MIRADI YA JIMBONI KWAKE MWAKA HUU.


Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mohammed Dewji (MO) akizindua mojawapo ya kisima cha maji katika kijiji cha Kibata Kata ya Mtamaa A, kisima hicho kimechimbwa kwa thamani ya zadia ya shilingi milioni 21.
MO akipampu maji katika kijiji cha Kibata tayari kwa matumizi.
Mbunge MO akimtwisha maji mama mmoja mkazi wa kijiji hicho Mariam Juma mara baada ya kuzindua kisima hicho wakati wa ziara yake jimboni humo.
MO akiangalia ujenzi wa msikiti katika Kata ya Utemini ambao unatarajiwa kuwa wa ghorofa moja, katika kuunga mkoni juhudi za waum,ini hao amechangia kiasi cha shilingi milioni 10.
MO akiwagawia nguo baadhi ya watoto wasiokuwa na uwezo wa kijiji cha Itisi mara baada ya kufanya kazi ya akuzindua mradi wa maji safi na salama.
Mbunge MO akizungumza na waandishi wa habari juu ya kukamilika kwa miradi ya maji katika vijiji 17 ambavyo vimeanza kuchimbwa mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge mwaka 2010 awamu ya pili, miradi hiyo imemgharimu zaidi ya nusu bilioni.

Kindly Bookmark this Post using your favorite Bookmarking service:
Technorati Digg This Stumble Stumble Facebook Twitter
YOUR ADSENSE CODE GOES HERE

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Labels

 

Pages

Popular Posts

BBC Xclusives

| BongoXclusive © 2009. All Rights Reserved | Sponsored by: Website Templates | Premium Wordpress Themes | consumer products. Thanks to blogger template
Template Style by My Blogger Tricks .com | Back To Top |